Huyu ni shabiki sugu wa Samatta maarufu kama ‘Ujugu’ ambaye amekuwa akimfuatilia unyounyo. Shabiki huyu anafurahishwa na maendeleo ya Samatta katika timu ya Aston Villa kiasi cha kuwa na ...
Je, huu ndio mwaka ambao Real watampata mshambuliaji huyu? Kikosi cha Carlo Ancelotti tayari kimetoa kauli moja ya kusaini msimu huu, kumnunua kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham kwa euro ...